Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi mpya ya 10 ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA). Wa tatu kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, ...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Andrew Kantimbo, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ya kiusalama mkoani humo. Picha na Juma Mtanda. Morogoro. Operesheni maalumu ...
Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza katika historia, kituo cha luninga cha Azam TV kitaonesha mbashara mechi zote 104 za Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Canada, Marekani na Mexico. Hii inakuwa ...
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Mnenia, Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma katika mwendelezo wa ziara yake ya kusikiliza na kutatua changamoto za ...
Dar es Salaam. Chama cha Sekta ya Ulinzi Tanzania (TSIA) kimelaani matumizi ya mabaunsa kwa shughuli za ulinzi, pamoja na kufanya fujo na kusababisha madhara kwa watu na mali zao. Chama hicho ...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Ashatu Kijaji, akizungumza wakati akiwasilisha bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2026/2027, Bungeni jijini Dodoma. Picha na Said Khamis Dodoma. Wakala wa Huduma ...
Aliyekuwa Mkuu wa Gereza la Ukonga, Josephat Mkama (aliyejifunika shuka) akiwa na aliyekuwa ofisa Tehama wa gereza hilo, Sibuti Nyabuya ( mwenye t-shirt nyeupe) pamoja na mfanyabiashara, Joseph ...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Kilifair Promotion, Dominic Shoo,akizingumza na waandishi wa habari jijini Arusha jana Mei 14, 2026 kuhusu maandalizi ya maonesho ya kimataifa ya utalii ya ...
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wanaishiriki zoezi la Ushirikiano Imara linaloandaliwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)likihusisha majeshi kutoka nchi wanachama wa EAC jijini ...
Dar es Salaam. Utafiti mpya unaonyesha kuwa mazoezi ya mwili yanaweza kuwa na ufanisi unaokaribiana na dawa katika kupunguza dalili za msongo wa mawazo na wasiwasi. Matokeo haya yametolewa na watafiti ...
Dar es Salaam. Rais wa Yanga, Hersi Said amesema mradi wa ujenzi wa Uwanja mpya wa klabu hiyo, utawafanya kumiliki asilimia 50 huku mwekezaji akimiliki kiasi hicho. Akizungumza leo Ijumaa Mei 15, 2026 ...
Nyota wa PSG, Ousmane Dembele (kushoto), mwingine kulia ni nyota wa Real Madrid na nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe. Picha na Mtandao Nyota wa Real Madrid, Kylian Mbappe na staa wa PSG, Ousmane ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results