INTERNATIONAL birdwatching enthusiasts from South Africa and the United States have called upon the tourism authorities to accelerate strategic investments to expand birdwatching tourism. This appeal ...
Serikali ya Tanzania imetenga zaidi ya Sh. bilioni 3.5 kwa ajili ya kuboresha meli ya MV Songea inayofanya safari kati ya bandari ya Kiwira mkoani Mbeya na Mbamba Bay mkoani Ruvuma kupitia Ziwa Nyasa.
Serikali imepanga kuanza kutumia teknolojia ya kisasa kufuatilia uzalishaji na biashara ya madini ili kudhibiti utoroshaji na kuongeza mapato ya ndani. Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Madini kwa ...
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, amewataka wananchi wa mkoa huo kujitokeza kupata huduma za msaada wa kisheria utakazoanza kutolewa kuanzia leo hadi Mei 30 mwaka huu mkoani humo. Mhita ametoa ...
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika kwa majina wala umri amefariki dunia baada ya kuzama katika Mto Sanya, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, akidaiwa kuteleza alipokuwa akivuka kivuko cha magogo ...
Klabu ya Yanga imemfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi leo Ijumaa Novemba 15, 2024. Taarifa ya kufutwa kazi kwa makocha hao imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu wa Yanga ikisema: “Uongozi ...
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, ameagiza uchunguzi wa haraka dhidi ya Kampuni ya Azhar Construction Company Limited inayodaiwa kukwepa kulipa madeni ya wafanyabiashara wa Wilaya ya Ngara ...
VYAMA vya upinzani nchini Burundi ikiwemo CNL, UPRONA, CODEBU, DCP, na FRODEBU vimeonyesha nia ya kususia uchaguzi wa urais vikitaka kufanyika kwa mazungumzo ya kitaifa kwanza kama sharti la uchaguzi ...
Kati ya kesi 197 za makosa mbalimbali yaliyokamatwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani katika kipindi cha mwezi Machi hadi April, 130 watuhumiwa wake wametiwa hatiani na kuhukumiwa. Hukumu za vifungo zi ...
Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) imezindua rasmi ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa 220kV kutoka Masasi hadi Mahumbika. Akizungumza Mei ...
RAIS wa Marekani Donald Trump amesema Washington inatazamia kupunguza maelfu ya wanajeshi ambao imewaweka Ujerumani, hatua inayojiri siku chache baada ya Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz kukosoa ...